Loading...

KAMA WEWE MWANAUME UNA TATIZO LA KUFIKA KILELENI HARAKA KABLA MPENZI WAKO HAJARIDHIKA SOMA HAPA.

AIBUUU PICHA ZA UTAMU ZA MWANAFUNZI WA FORM ONE ZAVUJA ZIONE KWA KUBOFYA HAPO CHINI=>

Pre mature ejaculation ni nini?Hii ni hali ambayo mwanaume anatoa mbegu mapema sana kipindi cha tendo la ndoa na mara nyingi huambatana na kushindwa kumridhisha mpenzi wake.Tatizo hili limekua likiwapata wanaume wengi na kujisikia aibu mbele za wenzi wao pale wanaposhindwa kuendelea kabisa baadaya hali hii kutokea.Kimsingimwanaume anatakiwa achukue dakika nne mpaka nane kabla ya kutoa mbegu za kwanza lakini watafiti wanasema tatizo hili hugundukiwa mtu anapotoa mbegu ndani ya dakika moja au kabla ya dakika moja.Tatizo hili huweza kutokea mara tu baada ya kubalehe,{primary pre mature ejaculation} mda mrefubaada ya kubalehe{secondary PE} au kutokana na aina ya mwanamke uliompata.{situational PE}Chanzo ni nini?Tatizo hili halina sababu za kitaalamu zilizofanyiwa utafiti zikakakubalika ila wanasayansi wanaamini sababu zifuatazo zinaweza kua chanzo kikuu cha tatizo hilo.*.·Kupiga punyeto haraka kipindicha kubalehe kuogopa kukutwa na watu.*.·Kukaa mda mrefu sana bilakushiriki tendo la ngono.*.·Kuwa na wasiwasi kipindi chatendo la ndoa kwamba huenda mwanamke anaweza akavaa akaondoka kabla hujaridhika.*.·Madhara ya dawa zinazofanya kazi kwenye mishipa yafahamu.*.·Kurithi tatizo kwenye ukoo. I;e genetically inherited.*.·Magonjwa ya mfumo wa uzazi wa mwanaume mfano prostatitis.Diagnosis{ kuutambua ugonjwa]Mwanaume yeyote ambaye anatoa mbegu chini ya dakika nne ni muhanga wa hili tatizo na anatakiwa apewe matibabu.MatibabuMatibabu ya ugonjwa huu yamegawanyika sehemu kuu mbili kulingana na ukali wa tatizo husika.·Non pharmacological treatment{matibabu yasiyo hitaji dawa}:matibabu haya hupewa watu ambao wanahimili mpaka dakika tatu bila kutoa mbegu.·Pharmacological treatment{matibabu yanayohusu dawa}: matibabu haya hupewa watu ambao hutoa mbegu ndani ya dakika moja baada ya kuanza kushiriki tendo la ndoa, watu hawa hushauriwa kutumia na mbinu zote mbili za matibabu.Yafuatayo ni matibabu yasiyohitaji dawa.·Tumia condom:Condom ni moja ya tiba nzuri ya tatizo hili kwani hufanya kazi kwa kupunguza hisia kali za mapenzi mtu anazozipata pale ambapo hatumii condom.·Kandamiza perineum kwa kidole:Perineum ni eneo kati ya mkundu na korodani, ile sehemu ikikandamizwa na kidole huweza kuzuia kukojoa haraka.·Punguza wasiwasi: hebu lifikirie tendo hili kama njiaya kujifurahisha sio njia pekee ya kutafuta kutoa mbegu,hii itakusaidia kuondoa mawazo ya kutafuta mbegu na kuchelewa kumaliza.·Fanya taratibu: picha za ngono zinadanganya sana watu kwamba kulala na mwanamke lazima ufanye kwa haraka haraka kama bata. HAPANA; ukifanya taratibu ndio njia nzuri ya kumfikisha mwenzako na wewe kuchelewa kufika kileleni.·Badilisha style: ile style ya zamani ya kumlalia mwanamk e kwa juu{missionary position} inaleta msuguano mkubwa kwenye kichwa cha uuume hivyoitakufanya ufike haraka sana.·Tumia style ya wewe mwanaume kutangulia chini afu mwanamke juuau kulala kwa upande wote mnaangalia upande mmoja hii itakusaidia sana kuchelewa·Toa mawazo kwamba unafanya ngono: hebu jaribukufikiria mambo mengine ya kikazi au masomo wakati unafanya tendo hilo, hii itakupunguzia hisia kali za mapenzi na kuchelewa kufika.·Vuta korodani kwenda chini: mwanaume anapokaribia kutoa mbegu, korodani hujivutazenyewe kwa juu hivyo kuzivuta kwenda chini hufanya mtu kuanza upya kabisa.·Fanya na kuacha: hii ni ile hali ya kuzuia msuguanopale unapoona unakaribia kutoa mbegu kwa kama sekundi 30 kisha unaanza upya. Hakikisha haufiki “point of no return”. pointi ambayo huwez kujizuia tena kumaliza.·Kandamiza sehemu ya shingo la uume: hii sehemu ya shingo ya uume kwa chini ambayo ukiibana itakusaidia kuanza upya tena kihisia. Nimetumia shingo la uume kwasababu najua uume hauna mabega. Wewe mwanamke unayesoma hapa mwanaume asikudanganye eti anaingiza kichwa tu. Uume haunamabegaya kuzuia kiwiliwili.·Fanya mazoezi:kuna msuli katikati ya uume na korodani unaitwa kitaalamu pubococcygeus (PC) muscle, wanaume huutumia pale wanapoamua kuzuia mkojo. Basi msuli huo huo unaweza kuzuia mbegu, hebu upe mazoezi kwa kuubana kwa sekunde ishirini kutwa mara tatu mapka utapokua nanguvu za kutosha kuzuia mbegu. Pia Pale unapoona unakaribia kutoa mbegu unabana msuli huo.Matibabu ya kutumia dawa.1.Serotonin reuptake inhibitorsmfanoparoxetine, naclomipraminezimefanya kazi nzuri ya kuzuia mara 20 zaidi kutoa mbegu zikitumika vizuri.2.Tramadol:ni dawa ya maumivu ambayo imefanya vizuri pia kwenye utafiti wa kuzuia tatizo hili.3.anesthetic creams:hii ni dawa zinazopakwa kwenye kichwa cha uume kuzuia msisimko kipindi cha tendo hilo mfano lidocaine cream..madhara ya dawa hii ni kumchelewesha hata mwanamke kufika kileleni.
KUONA VIDEO YAKE NI RAHISI TU BOFYA HAPA CHINI>>>>>>>>=======>>>>>>
International reporting trip.27 year old Missouri woman named Evelyn was recently featured on TLC's "My Strange Addiction", where she revealed that she's addicted to drinking air-freshner. According to Evelyn, she drinks 20 cans of air freshner a week and sprays up to 50 times daily. "I love air freshener. In the last three years, there is not a day where I’ve not had it. Fresh linen is my favorite flavor. Apple crisp is like dirt.” Evelyn said it started one day when she walked past an automatic air freshner spray, and it “dusted” her cup of glass. She gave it a try, and became hooked. Her man says he hates it but because he loves her, WADADA WAJIUZA MITANDAONI LIVE TAZAMA PICHA ZAO CHAFU NA BEI HAPA CHINI BOFYAAAA>>>>=>>>>>>=>
ANDIKA COMMENT AU MAONI YAKO HAPA!

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright Wordwordseven n' Tripleseven | Designed By 075580248
Back To Top