Loading...

KUHUSU POMBE YA HUKO ROMBO, POLISI WAHUSISHWA KATIKA HILI

AIBUUU PICHA ZA UTAMU ZA MWANAFUNZI WA FORM ONE ZAVUJA ZIONE KWA KUBOFYA HAPO CHINI=>

Tatizo la unywaji pombe wa kupindukia kwa wanaume wilayani hapa, limechukua sura mpya baada ya jeshi la polisi mkoa wa Kilimanjaro kutuhumiwa kushiriki kuchochea biashara hiyo.

Akiongea katika mkutano wa hadhara kuhusu tatizo hilo, Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Leonidas Gama, alisema kuwa taarifa mbali mbali zinaonyesha kuwa baadhi ya askari si waaminifu katika vita dhidi ya pombe haramu inayoendelea hivi sasa wilayani humo.

“OCD taarifa zinaonyesha kuna baadhi ya askari wako, ambao wanashirikiana na wafanyabiashara wa pombe haramu ya gongo na hili linafanya kazi ya operesheni kukomesha tabia hii mbaya kuwa ngumu,” alisema.

Alisema taarifa hizo zikiwamo zile za kutoka kwa wananchi wenye nia njema na vita hiyo, zinaonyesha kuwa baadhi ya askari wasio waaminifu wamewageuza wafanyabiashara wa gongo kuwa ATM zao (mashine za kutolea pesa) kwa kuchukua rushwa hivyo kusababisha uovu huo uendelee. 

Gama alisema serikali haijamzuia mtu kunywa pombe halali ili mradi isiwe ni wakati wa kazi na kwamba pale itakapobainika kuna wanao kunywa wakati wa saa za kazi watachukuliwa hatua kali kwa mujibu wa sheria.

“Inasikitisha kusikia kuwa baadhi ya pombe zinazonyweka Rombo zimetengenezwa na mbolea aina ya urea, maji ya betri, spiriti, kinyesi cha binadamu, sukari guru na molasesi, hii ni hatari kwa afya ya mwanadamu,” alisema.





Kwa upande wake Padri Serafini Kilawe, wa Kanisa Katoliki, alisema kuwa vita dhidi ya pombe haramu hasa ya gongo haitaweza kumalizika iwapo baadhi ya askari hawataacha kushirikiana na wanaotengeneza pombe hizo.





Suala la ulevi uliokithiri limekuwa gumzo maeneo mbali mbali mkoani Kilimanjaro na nje ya mkoa huo, ambapo imedaiwa kuwa baadhi ya wanawake wilayani humo wanalazimika kukodi wanaume kutoka nchi jirani ya Kenya ili kukidhi mahitaji yao ya kindoa.





Wananchi waishio wilayani hapo, Elizabeth Shabani na Mary Shirima, walikiri kuwapo kwa askari, wanaofika maeneo wanapotengenezea pombe haramu kuchukua fedha kila mwisho wa mwezi kama ni ujira wa kuwalinda.

KUONA VIDEO YAKE NI RAHISI TU BOFYA HAPA CHINI>>>>>>>>=======>>>>>>
International reporting trip.27 year old Missouri woman named Evelyn was recently featured on TLC's "My Strange Addiction", where she revealed that she's addicted to drinking air-freshner. According to Evelyn, she drinks 20 cans of air freshner a week and sprays up to 50 times daily. "I love air freshener. In the last three years, there is not a day where I’ve not had it. Fresh linen is my favorite flavor. Apple crisp is like dirt.” Evelyn said it started one day when she walked past an automatic air freshner spray, and it “dusted” her cup of glass. She gave it a try, and became hooked. Her man says he hates it but because he loves her, WADADA WAJIUZA MITANDAONI LIVE TAZAMA PICHA ZAO CHAFU NA BEI HAPA CHINI BOFYAAAA>>>>=>>>>>>=>
ANDIKA COMMENT AU MAONI YAKO HAPA!

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright Wordwordseven n' Tripleseven | Designed By 075580248
Back To Top