AIBUUU PICHA ZA UTAMU ZA MWANAFUNZI WA FORM ONE ZAVUJA ZIONE KWA KUBOFYA HAPO CHINI=>
USHETANI! Watoto wa kike
wawili wenye umri wa miaka 8 na 14, wakazi wa Unga Limited jijini hapa,
wamelazwa katika Hospitali ya Mkoa Mount Meru baada ya kuharibiwa
vibaya sehemu zao za siri kwa madai ya kulawitiwa na kubakwa na baba yao
mzazi waliyemtaja kwa jina moja la Ezekiel, Uwazi linakupa zaidi.
Watoto wanaodaiwa kubakwa na baba yao.
Akizungumza na gazeti
hili kwa tabu hospitalini hapo, mtoto mwenye miaka 14 anayesoma darasa
la nne, Shule ya Msingi Mkombozi (jina limehifadhiwa) alisema alianza
kubakwa siku nyingi na baba yake huyo huku siku zingine akifanyiwa
ukatili huo kwa usiku kucha huku akipata maumivu makali.
MSIKIE MWENYEWE
“Mimi na ndugu yangu
tulikuwa tukiishi na baba na wadogo zangu wengine lakini baba
alinihamishia mimi kwenye kitanda chake chumbani kwake nikawa nalala
naye na akawa ananibaka usiku na asubuhi. Jua linapochomoza nilikuwa
natoka,’’ alidai mtoto huyo.
“Nilikuwa naumia sana.
Kila nilipoona usiku unaingia moyoni nilikuwa nikisema muda wa mateso
umefika. Nilikuwa napenda kulala ili niamke kwenda shule, lakini baba
alikuwa haniachii! Hali hiyo ilinifanya kesho yake nishinde nasinzia.”
ALIKUWA AKITUMIA VITISHO
Binti huyo aliongeza
kuwa, pamoja na kuingiwa na akili ya kutaka kuwaambia majirani, lakini
baba yake alimwendea mbele kama alijua kwani kila alipomaliza unyama
huo alimwambia angemchoma kisu kama angetoboa siri hiyo kwa watu au kwa
mama yake mzazi.
KUMBE MAMA ALIFUKUZWA
“Mtu wa kumwambia
matatizo hayo ni mama yangu mzazi ambaye baba alimfukuza nyumbani na
alikuwa akiishi sehemu nyingine. Hata hivyo, nilipomwambia mama kwamba
baba anatubaka, hasa mimi usiku kucha mpaka naamka nimechoka na siwezi
kutembea, aliniambia nisijaribu kumwambia mambo hayo ya kijinga.”
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Arusha, SACP Leberatus Sabas.
KUBAKWA KUNAENDELEA!!
Binti huyo alitoa ya moyoni kuhusu kisa chake hicho cha kubakwa na kulawitia kwa kusema:
“Sijui ni nini?! Siku
nyingine nikiwa na mdogo wangu tunayesoma naye shule, tuliitwa na babu
mmoja anaitwa Elias. Tulikwenda hadi nyumbani kwake.
“Tulipofika, babu
alitupa chipsi na kula. Halafu alimwambia mwenzangu atoke nje na kuanza
kunibaka mimi. Alipomaliza, alimuita mwenzangu, naye akambaka. Alikuwa
akitupatia chipsi kisha wakati wa kuondoka alitupa shilingi elfu mbili
(2,000).
MARA TATU ZATAJWA
Uwazi lilipomuuliza
binti mwingine wa miaka nane kuhusu kufanyiwa unyama huo, alisema: “Mimi
babu Elias alinibaka mara tatu sehemu za mbele na sehemu za nyuma,
akanipa shilingi elfu mbili na chipsi.”
MJUMBE WA MTAA AZUNGUMZA
Kwa upande wa balozi wa
eneo hilo, Janet Tirisho alipoulizwa kuhusu ukatili huo, alisema kuwa
alifanikiwa kuwaokoa watoto hao ambao walizoea kufanyiwa mchezo huo
mchafu wa kubakwa kwa muda mrefu huku mama yao akidaiwa kupokea fedha
kutoka kwa wanaye hao.Alisema sakata hilo walilifikisha Kituo Kikuu cha
Polisi Arusha na watuhumiwa wakafunguliwa jalada lenye namba
AR/RB/6252/2015- KOSA LA KUBAKA.
UCHUNGUZI WA KIDAKTARI
Daktari mmoja ambaye
hakupenda jina lake kuandikwa gazetini alisema watoto hao wamefanyiwa
uchunguzi na wamegundilika kuwa wameharibika vibaya sehemu zao za siri.
Naye Katibu wa Afya,
Hospitali ya Mount Meru, Enjo Kimati, aliyezungumza kama msemaji wa
hospitali hiyo alisema kuwa matukio ya ubakaji yameongezeka maradufu
kwani watoto wenye umri wa miaka mitano hadi 15 wamekuwa wakifikishwa
hosptalini hapo na kugundulika wamebakwa na kulawitiwa.
KAMANDA WA POLISI
Kamanda wa Polisi wa
Mkoa wa Arusha, SACP Leberatus Sabas (pichani) amethibitisha kutokea kwa
tukio hilo na kusema: “Tumefanikiwa kumtia mbaroni babu Elias lakini
baba mzazi, Emmanuel Ezekiel alitoroka. Jeshi la polisi linamsaka ili
afikishwe kwenye vyombo vya sheria kujibu shitaka la kubaka
linalomkabili.”
KUONA VIDEO YAKE NI RAHISI TU BOFYA HAPA CHINI>>>>>>>>=======>>>>>>
International reporting trip.27 year old Missouri woman named Evelyn was recently featured on TLC's "My Strange Addiction", where she revealed that she's addicted to drinking air-freshner. According to Evelyn, she drinks 20 cans of air freshner a week and sprays up to 50 times daily. "I love air freshener. In the last three years, there is not a day where I’ve not had it. Fresh linen is my favorite flavor. Apple crisp is like dirt.” Evelyn said it started one day when she walked past an automatic air freshner spray, and it “dusted” her cup of glass. She gave it a try, and became hooked. Her man says he hates it but because he loves her,
WADADA WAJIUZA MITANDAONI LIVE TAZAMA PICHA ZAO CHAFU NA BEI HAPA CHINI BOFYAAAA>>>>=>>>>>>=>
Post a Comment