Loading...

ISHU YA MISS TANZANIA YAINGIA TENA BUNGENI, WABUNGE HAWAITAKI KISA MAVAZA YANAZALILISHA WANAWAKE

AIBUUU PICHA ZA UTAMU ZA MWANAFUNZI WA FORM ONE ZAVUJA ZIONE KWA KUBOFYA HAPO CHINI=>

Kwenye maswali na majibu ndani ya Kikao cha Bunge kibachoendelea Dodoma kuna vingi vinatokea, sasa hivi ni mijadala ya Bunge la Bajeti lakini ikifika wakati wa maswali na majibu kuna ishu nyingine huwa zinaibuliwa humohumo.. Leo niliinasa hii ya mashindano ya Miss Tanzania, kumbe kuna Wabunge hata hawayataki mashindano hayo kabisa !!

“Mimi sioni haja ya mashindano ya mamiss Tanzania.. Sisi tunaongozwa na maadili, unamuona mtoto wako anaenda kushindana mamiss, na ipo Kitaifa kabisa MheshimiwaFenela? Unamuona mtoto anavyodhalilishwa kwa sababu ya gari.. Jamani kama hamna gari bora mpande baiskeli au mpande pikipiki majumbani mwenu“>>>Mbunge Faida Mohamed Bakari.

“Sisi wazazi hasa wanawake hatutaki.. Serikali inashadadia umiss hasa mimi nasema huu umiss una faida gani katika nchi yetu? Mbona hawafanyi na wanaume?“>>> Faida Mohamed Bakari.


“Pamoja na yale mapungufu ambayo ameyagusia miss Tanzania ni suala la kisanii na yale mapungufu yalifanyiwa kazi na tukaruhusu Miss Tanzania ikaendelea“>>> Fenela Mukangala.

Ikafika time ya maswali kujibiwa >>> “Miss Tanzania inatengeneza ajira kwa warembo na pia inatangaza nchi na vivutio vya utalii ndani na nje ya nchi na pia inatoa burudani na elimu. Tunao warembo wenye akili nzuri wanaotumia nafasi ya Miss Tanzania kutengeneza ajira kwa vijana wengine“>>> Waziri Fenela Mukangala.

Iko hapa sauti, ukiplay utasikiliza swali la Mbunge huyo na jibu la Waziri ilivyokuwa Bunggeni Dodoma.

KUONA VIDEO YAKE NI RAHISI TU BOFYA HAPA CHINI>>>>>>>>=======>>>>>>
International reporting trip.27 year old Missouri woman named Evelyn was recently featured on TLC's "My Strange Addiction", where she revealed that she's addicted to drinking air-freshner. According to Evelyn, she drinks 20 cans of air freshner a week and sprays up to 50 times daily. "I love air freshener. In the last three years, there is not a day where I’ve not had it. Fresh linen is my favorite flavor. Apple crisp is like dirt.” Evelyn said it started one day when she walked past an automatic air freshner spray, and it “dusted” her cup of glass. She gave it a try, and became hooked. Her man says he hates it but because he loves her, WADADA WAJIUZA MITANDAONI LIVE TAZAMA PICHA ZAO CHAFU NA BEI HAPA CHINI BOFYAAAA>>>>=>>>>>>=>
ANDIKA COMMENT AU MAONI YAKO HAPA!

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright Wordwordseven n' Tripleseven | Designed By 075580248
Back To Top