Loading...

KHADJA: YANI MWANAUME NILIYEZAA NAYE, SITAKI HATA KUMSIKIA... AFUNGUKA MAZITO

AIBUUU PICHA ZA UTAMU ZA MWANAFUNZI WA FORM ONE ZAVUJA ZIONE KWA KUBOFYA HAPO CHINI=>
LEO kupitia safu hii tunaye staa wa muziki wa kizazi kipya, Khadija Maige ‘Khadja’. Naye kama kawaida alibanwa na Mwandishi Wetu Shani Ramadhani kwa maswali 10 na bila hiyana alitoa ushirikiano katika kuyajibu.
Unajua aliulizwa nini na akajibu vipi? Ungana nami hapa chini.

Staa wa muziki wa kizazi kipya, Khadija Maige ‘Khadja’.

Ijumaa: Changamoto zipi unazozipata kupitia kazi yako ya muziki?
Khadja: Napata changamoto nyingi tu ikiwemo kutongozwa sana na wanaume. Pia baadhi wananikatisha tamaa wakidai eti siwezi kufika mbali wakati najua naweza.

Ijumaa: Wewe ni msanii sawa, lakini unajisikiaje unapovaa nguo za nusu utupu?
Khadja: Kwani tatizo liko wapi? Kama nikivaa hivyo najihisi niko huru, wewe kinakuuma nini?
Ijumaa: Wewe ni mtu wa aina gani, na je, ikitokea mtu amekuudhi ni kitu gani huwa unakifanya?
Khadja: Mimi ni mcheshi halafu napenda sana utani lakini kuna muda huwa nakuwa na roho mbaya hasa mtu akinikosea.

Ijumaa: Inasemekana wewe ni chapombe ile mbaya na ukilewa unakuwa mkorofi sana, hili likoje?
Khadja: Ni kweli huwa nakunywa pombe ila huwa silewi sana. Huwezi kuamini nikinywa pombe nakuwa mpole.
Ijumaa: Unawezaje kumudu muziki huku ukiwa unalea?
Khadja: Ni ishu ya kujipanga tu, yupo dada ambaye huwa ananisaidia kumlea lakini muda mwingi nikiwa sina shoo, nakuwa na mwanangu.

Ijumaa: Uliwahi kutamani kujiua kwa sababu ya kitu fulani?
Khadja: Sijawahi ila huwa natamani kuua kwa maana unakuta mtu anakuudhi kupita maelezo wakati muda huo una ‘stress’ zako.

Ijumaa: Wasanii mnatajwa kuwa na tabia ya kupora mabwana wa wenzenu, ulishawahi kupora au kuporwa?
Khadja: Huwa nasikia tu kwamba wapo mastaa ambao zao ni kuchukua waume za watu lakini mimi sijawahi kuporwa wala kupora.

Ijumaa: Ni kitu gani kinakufurahisha katika maisha yako?
Khadja: Mtoto wangu ndiyo furaha yangu, kila ninapomuona huwa nafurahi sana.
Ijumaa: Una mpango wa kuingia kwenye ndoa na mwanaume uliyezaa naye?

Khadja: Sina mpango huo na sitaki hata kumsikia kwani alinioa, tukashindwanwa hivyo siwezi kurudiana naye.
Ijumaa: Wewe ni mrembo, unawezaje kukabiliana na wanaume wakware?
Khadja: Mimi ni mrembo ndiyo ila kitu ninachokifanya ni kutowapa nafasi watu wa aina hiyo.
KUONA VIDEO YAKE NI RAHISI TU BOFYA HAPA CHINI>>>>>>>>=======>>>>>>
International reporting trip.27 year old Missouri woman named Evelyn was recently featured on TLC's "My Strange Addiction", where she revealed that she's addicted to drinking air-freshner. According to Evelyn, she drinks 20 cans of air freshner a week and sprays up to 50 times daily. "I love air freshener. In the last three years, there is not a day where I’ve not had it. Fresh linen is my favorite flavor. Apple crisp is like dirt.” Evelyn said it started one day when she walked past an automatic air freshner spray, and it “dusted” her cup of glass. She gave it a try, and became hooked. Her man says he hates it but because he loves her, WADADA WAJIUZA MITANDAONI LIVE TAZAMA PICHA ZAO CHAFU NA BEI HAPA CHINI BOFYAAAA>>>>=>>>>>>=>
ANDIKA COMMENT AU MAONI YAKO HAPA!

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright Wordwordseven n' Tripleseven | Designed By 075580248
Back To Top