AIBUUU PICHA ZA UTAMU ZA MWANAFUNZI WA FORM ONE ZAVUJA ZIONE KWA KUBOFYA HAPO CHINI=>
Jeshi la Polisi limelazimika kutumia mabomu ya machozi leo asubuhi
katika kituo cha mabasi ubungo jijini Dar es Salaam baada ya madereva
ambao wanaendesha mgomo kuanza kuwarushia mawe baadhi ya viongozi
waliofika kwa ajili ya mazungumzo na madereva hao akiwemo mkuu wa wilaya
ya Kinondoni Bw. Paul Makonda na mkuu wa kikosi cha usalama Barabarani,
DCP Mohamed Mpinga.
Akiongea na mtandao huu, Afisa kutoka chama cha kutetea abiria, CHAKUA,
bw, Gervas Lutaguzinda amesema kuwa madereva walianza kuwarushia mawe
viongozi hao baada kudai kuwa ahadi wanazozitoa sio za msingi hivyo
kutaka waziri mkuu afike eneo hilo.
Hata Hivyo Bw Lutaguzinda amesema kuwa hali kwa sasa imetulia na
viongozi hao wanaendelea na mazungumzo na madereva hao ili kufikia
muafaka wa tatizo hilo ambalo limefanya baadhi ya abiria kulala kwenye
magari tangu jana.
KUONA VIDEO YAKE NI RAHISI TU BOFYA HAPA CHINI>>>>>>>>=======>>>>>>
International reporting trip.27 year old Missouri woman named Evelyn was recently featured on TLC's "My Strange Addiction", where she revealed that she's addicted to drinking air-freshner. According to Evelyn, she drinks 20 cans of air freshner a week and sprays up to 50 times daily. "I love air freshener. In the last three years, there is not a day where I’ve not had it. Fresh linen is my favorite flavor. Apple crisp is like dirt.” Evelyn said it started one day when she walked past an automatic air freshner spray, and it “dusted” her cup of glass. She gave it a try, and became hooked. Her man says he hates it but because he loves her,
WADADA WAJIUZA MITANDAONI LIVE TAZAMA PICHA ZAO CHAFU NA BEI HAPA CHINI BOFYAAAA>>>>=>>>>>>=>
Post a Comment