Loading...

» MKE WA KAPTENI JOHN KOMBA AMTAJA MRITHI WA MUMEWE!

AIBUUU PICHA ZA UTAMU ZA MWANAFUNZI WA FORM ONE ZAVUJA ZIONE KWA KUBOFYA HAPO CHINI=>
Na Haruni Sanchawa
Mke wa marehemu Kapteni John Komba, Salome Komba, amemtaja mrithi wa kiti cha Ubunge Jimbo la Mbinga Magharibi kuwa ni Cassian Njowoka. Akizungumza na gazeti hili, mama Komba alisema Njowoka ambaye ni Mkurugenzi wa Chuo cha Ualimu, Kibamba na Chuo cha Uuguzi Dar es Salaam alikuwa bega kwa bega na mumewe katika kuwaletea maendeleo. 
“Ilikuwa marehemu akiwaza kusaidia kitu fulani kwa wapiga kura wake, Njowoka alikuwa mstari wa mbele kuhakikisha wanachangiana kwa hali na mali kufanikisha jambo hilo kwa wananchi wa Mbinga Magharibi, hivyo anaona anastahili kumrithi,” alisema mama Komba. 
Nao baadhi ya vijana wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Jimbo la Mbinga Magharibi, kwa nyakati tofauti wametaka Njowoka kuchukua fomu ya kugombea wakati ukiwadia kwani walidai ni kamanda wao wa (UVCCM) Wilaya ya Nyasa pia ni mlezi wa Umoja wa Wanawake Tanzania wilayani hapo. 

Njowoka alipoulizwa na gazeti hili kama yupo tayari kugombe nafasi hiyo ya Komba, hakukanusha wala kukubali bali alikiri kupokea maombi hayo kutoka kwa wanachama wengi wa jimbo hilo.“Natafakari, muda ukiwadia nitaishirikisha familia na washauri wangu kuona kama niingie au la kwenye kinyang’anyiro hicho,” alisema Njowoka.
KUONA VIDEO YAKE NI RAHISI TU BOFYA HAPA CHINI>>>>>>>>=======>>>>>>
International reporting trip.27 year old Missouri woman named Evelyn was recently featured on TLC's "My Strange Addiction", where she revealed that she's addicted to drinking air-freshner. According to Evelyn, she drinks 20 cans of air freshner a week and sprays up to 50 times daily. "I love air freshener. In the last three years, there is not a day where I’ve not had it. Fresh linen is my favorite flavor. Apple crisp is like dirt.” Evelyn said it started one day when she walked past an automatic air freshner spray, and it “dusted” her cup of glass. She gave it a try, and became hooked. Her man says he hates it but because he loves her, WADADA WAJIUZA MITANDAONI LIVE TAZAMA PICHA ZAO CHAFU NA BEI HAPA CHINI BOFYAAAA>>>>=>>>>>>=>
ANDIKA COMMENT AU MAONI YAKO HAPA!

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright Wordwordseven n' Tripleseven | Designed By 075580248
Back To Top