Loading...

NEWS ALERT..!! MTOTO WA MIAKA 3 AFARIKI KWA KUTUMBUKIA KWENYE KARO LA CHOO WILAYANI KAHAMA

AIBUUU PICHA ZA UTAMU ZA MWANAFUNZI WA FORM ONE ZAVUJA ZIONE KWA KUBOFYA HAPO CHINI=>

Mtoto mmoja Reuben Daud(3) mkazi wa Nyihogo wilayani Kahama mkoani Shinyanga amefariki dunia leo baada ya kutumbukia kwenye karo la choo ambapo mazingira ya tukio hilo hayakufahamika.

Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo wamesema mnamo saa 3 ya asubuhi kulizagaa taarifa ya kupotea kwa mtoto katika eneo hilo na ndipo jitihada za kumtafuta zikafanyika na kumkuta akielea kwenye karo la choo nyumba ya jirani amefariki.

Mmoja wa mashuhuda hao Khalfan Mohamed ameelezea tukio hilo kuwa alisikia taarifa za kupotea kwa mtoto ambapo baadae taarifa za kupatikana kwa mtoto huyo akiwa ameelea kwenye karo, hivyo taratibu za kuuopoa mwili zikafanyika. 

Kwa upande wa baba mzazi wa mtoto huyo Daud Reuben ameelezea tukio hilo kuwa mtoto aliondoka kwenda kununua kitafunwa kwa ajili ya chai lakini hakurudi ndipo walipowashirikisha majirani kumtafuta ambapo walimuona kwenye karo hilo akiwa amefariki.

Naye mtendaji wa mtaa huo Simon Mabumba amesema uzembe wa kuacha makaro wazi ndiyo chanzo cha matukio kama hayo kuendelea kujitokeza hivyo wananchi wanapotaka kujenga wanapaswa kuzingatia usalama wa jamii na si kuangalia shughuli zao tu. 

Jeshi la Polisi wilayani Kahama lilifika katika eneo la tukio na kuuchukua mwili wa marehemu na kisha kuupeleka chumba cha kuhifadhia maiti katika hospitali ya wilaya ya Kahama kwa ajili ya uchunguzi zaidi.
KUONA VIDEO YAKE NI RAHISI TU BOFYA HAPA CHINI>>>>>>>>=======>>>>>>
International reporting trip.27 year old Missouri woman named Evelyn was recently featured on TLC's "My Strange Addiction", where she revealed that she's addicted to drinking air-freshner. According to Evelyn, she drinks 20 cans of air freshner a week and sprays up to 50 times daily. "I love air freshener. In the last three years, there is not a day where I’ve not had it. Fresh linen is my favorite flavor. Apple crisp is like dirt.” Evelyn said it started one day when she walked past an automatic air freshner spray, and it “dusted” her cup of glass. She gave it a try, and became hooked. Her man says he hates it but because he loves her, WADADA WAJIUZA MITANDAONI LIVE TAZAMA PICHA ZAO CHAFU NA BEI HAPA CHINI BOFYAAAA>>>>=>>>>>>=>
ANDIKA COMMENT AU MAONI YAKO HAPA!

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright Wordwordseven n' Tripleseven | Designed By 075580248
Back To Top