Loading...

Vita Dhidi ya Diamond ni Kubwa Kuliko Tunavyofikiria

AIBUUU PICHA ZA UTAMU ZA MWANAFUNZI WA FORM ONE ZAVUJA ZIONE KWA KUBOFYA HAPO CHINI=>
Hakuna ubishi kua kwa sasa diamond platnumz ndie msanii anae ongoza kupigwa vita kuliko msanii yeyote hapa nchini.

Vita hiyo ina ongozwa na baadhi ya walio wahi kuwa wapenzi wake pia na mahasimu wake wa kimuziki (wasanii wengine) kupitia mashabiki zao.

Sawa ni jambo la kawaida kwa wasanii wakubwa duniani na mastar wengine kama wachezaji,maboxer pamoja na waigizaji kuwa na maadui hili linathibitishwa na mfano wasanii kadhaa wa kimarekani walivyo na maadui mpaka inafikia kupigana risasi mfano 2pac,BIG,50cent,mayweather na wengine kibao.

Sababu kubwa za diamond kuanzishiwa vita "maalum" ili ashuke kimuziki na kimafanikio ni kutokana na maneno ya wengi eti kua anaringa,anadharau,ana nyodo,ana mamneno ya shombo,ana ropoka sana,mtoto wa uswahili,hajasoma,mchawi na visababu kedekede.

Wadadisi wa mambo wanasema kua chuki dhidi ya diamond si tu inatokana na sababu zilizo tajwa hapo juu bali inaenda mbali zaidi mapaka kwa team nzima ya diamond hasa mameneja wake.

hapa ni kwamba kwa sasa hakuna asie jua kua unapo ongelea mameneja wakali Tanzania una waongelea Babu tale na Said Fella,Mzozo unakuja pale ambapo kuna watu wanatamani kufika level za wakina Tale but wana chemka ndipo wanapo anzisha kampeni ya kuwaharibia hawa jamaa kwa kisingizio cha kua eti ni wanyonyaji,wana haribu soko la muziki wa bongo fleva na maneno kibao.

kiukweli hawa watu hawajawahi kushindwa kwenye menejimenti yao,kila msanii wanae mmeneji lazma afike mbali wangapi wamejaribu wakaishia njiani? mfano ustadh "juma na musoma", 

Kwa hiyo tunapo itizama vita dhidi ya diamond tusidhani tu kua mashabiki ndio wanao tengeneza hii chuki bali ni mkono wa wadau wakubwa wa muziki hapa nchini wakishirikiana na media kadhaa kuhakikisha wana wapasua mashabiki kwa makusudi tu ili watimize malengo ya kuwamaliza wahasimu wao diamond Fella na babu Tale...!!


Tupingane kwa hoja na sio matusi!!
KUONA VIDEO YAKE NI RAHISI TU BOFYA HAPA CHINI>>>>>>>>=======>>>>>>
International reporting trip.27 year old Missouri woman named Evelyn was recently featured on TLC's "My Strange Addiction", where she revealed that she's addicted to drinking air-freshner. According to Evelyn, she drinks 20 cans of air freshner a week and sprays up to 50 times daily. "I love air freshener. In the last three years, there is not a day where I’ve not had it. Fresh linen is my favorite flavor. Apple crisp is like dirt.” Evelyn said it started one day when she walked past an automatic air freshner spray, and it “dusted” her cup of glass. She gave it a try, and became hooked. Her man says he hates it but because he loves her, WADADA WAJIUZA MITANDAONI LIVE TAZAMA PICHA ZAO CHAFU NA BEI HAPA CHINI BOFYAAAA>>>>=>>>>>>=>
ANDIKA COMMENT AU MAONI YAKO HAPA!

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright Wordwordseven n' Tripleseven | Designed By 075580248
Back To Top