Loading...

Habari Njema, Askari wa JWTZ Watakaowapiga raia Kukiona..Soma Hapa

AIBUUU PICHA ZA UTAMU ZA MWANAFUNZI WA FORM ONE ZAVUJA ZIONE KWA KUBOFYA HAPO CHINI=>
Uongozi wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), umesema utawafukuza kazi askari wote watakaojihusisha na vitendo vya utovu wa nidhamu ikiwamo  kuwapiga raia wanaokosana nao mitaani.

Mkuu wa Utumishi jeshini, Meja Jenerali Vicent Mritaba alitoa onyo hilo mjibi hapa juzi alipokuwa akifunga mafunzo ya awali ya askari wapya katika kambi ya Jeshi la Kujenga Taifa la Oljoro.

“Jeshi halitawavumilia askari wanaovunja sheria kwa kushiriki vitendo vinavyokiuka maadili ikiwamo kujichukulia sheria mkononi,” alisema Meja Jenerali Mritaba.

 Alisema jukumu la JWTZ ni kulinda mipaka ya nchi, raia na mali zao na kushiriki kazi za kijamii kulingana na mahitaji ya wakati huo.

Pia aliwaonya askari kutoshiriki wala kujihusisha na makundi maovu kwa sababu itawaondolea sifa ya kuendelea kutumikia jeshi hilo lililoundwa rasmi mwaka 1964, baada ya kuvunjwa jeshi lililorithiwa kutoka kwa wakoloni.

Katika hatua nyingine, Meja Jenerali Mritaba aliwataka wanajeshi wajiepushe na vitendo vinavyoweza kuwasababishia maambuziki ya virusi vya Ukimwi.

“Mlipojiunga jeshini wote mlipimwa afya zenu na kugundulika kuwa mpo salama. Epukeni ngono kwa sababu mkipata maambukizi hayo ndoto zenu za kulitumikia taifa zitakatika lakini pia malengo yenu ya kimaisha yatafifia,” alisema.

Awali, Mkuu wa Mafunzo ya Awali ya kijeshi katika Chuo cha Kihangaiko mkoani Pwani, Kanali Ramadhani Churi alisema licha ya changamoto kadhaa kiutawala, wahitimu hao wamefaulu katika hatua zote mbili za mafunzo kuanzia ya wiki sita ya kuwaondoa kwenye hali ya kawaida kuwa wanajeshi.

Kanali Churi alisema askari hao walifundishwa uvumilivu na kuishi katika mazingira magumu ikiwamo kutolala kwa wiki sita mfululizo, lengo likiwa ni kuwajengea uwezo kisaikolojia wa kuhimili jambo lolote gumu kwenye uwanja wa vita na mapambano.

Kaimu Kamanda wa Kikosi cha 833KJ Oljoro, Luteni Kanali Sijaona Myala alitaja baadhi ya mambo yaliyofanikisha mafunzo hayo kuwa ni kila mtu kuzingatia taaluma na kutekeleza wajibu wake kuanzia kwa wakufunzi, madaktari na viongozi.
KUONA VIDEO YAKE NI RAHISI TU BOFYA HAPA CHINI>>>>>>>>=======>>>>>>
International reporting trip.27 year old Missouri woman named Evelyn was recently featured on TLC's "My Strange Addiction", where she revealed that she's addicted to drinking air-freshner. According to Evelyn, she drinks 20 cans of air freshner a week and sprays up to 50 times daily. "I love air freshener. In the last three years, there is not a day where I’ve not had it. Fresh linen is my favorite flavor. Apple crisp is like dirt.” Evelyn said it started one day when she walked past an automatic air freshner spray, and it “dusted” her cup of glass. She gave it a try, and became hooked. Her man says he hates it but because he loves her, WADADA WAJIUZA MITANDAONI LIVE TAZAMA PICHA ZAO CHAFU NA BEI HAPA CHINI BOFYAAAA>>>>=>>>>>>=>
ANDIKA COMMENT AU MAONI YAKO HAPA!

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright Wordwordseven n' Tripleseven | Designed By 075580248
Back To Top