Loading...

Nimemtoa Out Kaja na Marafiki zake Watatu...Kilichofuta Baada ya Hapo ilinibidi ni Escape From Sobibo

AIBUUU PICHA ZA UTAMU ZA MWANAFUNZI WA FORM ONE ZAVUJA ZIONE KWA KUBOFYA HAPO CHINI=>
Jana jioni nilipotoka kazini nilipitia recreation place moja hivi nipate moja moto moja baridi wakati nikisubiri foleni iishe Ingawa sina Gari ila kwa kawaida ikifika saa mbili usiku kidogo fujo za dala dala posta -makumbusho zinakua zimepungua..

Basi nikiwa hapo recreation nikampigia simu mrembo mmoja hivi staff mwenzangu kazini ambae nimekua nikimfuatilia sasa kwa wiki kadhaa nikamwomba apite nilipo tupate japo bia mbili Mbili huku tukizungumza

Cha kushangaza kaja na mashoga zake watatu na yeye Wa nne baada ya kuona nimeshtuka akajibalaguza kwa kusema eti amekutana nao hapo nje tu
Wakaagiza Windhoek lager mmoja akaagiza savana dry
Nikasema moyoni kwa kijita lelo ni lelo
Walipofika bia ya tatu kila mmoja huku wakiongea stori zao za kina diamond na Ali kiba zisizo na kichwa wala miguu wawili wakainuka kwenda jikoni kutazama nyama choma nilisikia kama ganzi miguuni na ndipo hapo nilipoanza kufikiria escape from sobibo

Wakati nimeanza kupanga escape plan warembo hao walikua bia ya sita kila mmoja wadada wananyonya bia sijawahi ona, mm nipo bia ya tatu tena safari nikinywa kwa kuichungulia
Yote tisa, kumi wakaagiza kongoro la kukatia pombe wakati wakisubiri nyama choma iive ambayo sikutaka hata kujua ni kiasi gani

Ilikua ni Saa mbili na nusu usiku nilipojifanya nakwenda kuongea na simu nje nilipofika nje ya bar hiyo iliyokaribu na billicanas club nilipiga hatua ndefu kuelekea posta Mpya huku nikitazama nyuma kwa hofu kama kuna mtu ananifuata, nikatokea nmb phonex house na mungu si Athuman hili hapa dala dala la makumbusho posta likiwa na abiria wachache nikadandia hill hilo na kupiga ishara ya msalaba kwa kufanikiwa kutoroka salama
Nikazima simu hadi saa sita usiku ndo nikaiwasha na kukutana sms kama 30 hivi za matusi kutoka kwa yule binti Wa kazini, akiniita majina yote mabaya kuanzia firauni na mengine mengi
Kwamba wakiitwa wanaume nawe utatoka?
Kwamba janaume suruali tu
Kwamba Aliniona Wa maana kymbe sina lolote

Leo asubuhi amenikuta nimeshakaa kwa meza yangu amefika akasimama mbele yangu akaniangalia kwa macho makali sana na akavuta msonyo mrefu sana na kwenda kwenye idara yake
Nahisi ndo ntakua nimekataliwa hivyo

Wakuu msichana anakuja kunikomoa hivyo huku anaujua kabisa mshahara wangu tupo ofisi moja anajua mm ni karani tu Wa kawaida
Wote mm na yy net yetu inalingana
Mabinti mjirekebishe sio vizuri kwa kweli
KUONA VIDEO YAKE NI RAHISI TU BOFYA HAPA CHINI>>>>>>>>=======>>>>>>
International reporting trip.27 year old Missouri woman named Evelyn was recently featured on TLC's "My Strange Addiction", where she revealed that she's addicted to drinking air-freshner. According to Evelyn, she drinks 20 cans of air freshner a week and sprays up to 50 times daily. "I love air freshener. In the last three years, there is not a day where I’ve not had it. Fresh linen is my favorite flavor. Apple crisp is like dirt.” Evelyn said it started one day when she walked past an automatic air freshner spray, and it “dusted” her cup of glass. She gave it a try, and became hooked. Her man says he hates it but because he loves her, WADADA WAJIUZA MITANDAONI LIVE TAZAMA PICHA ZAO CHAFU NA BEI HAPA CHINI BOFYAAAA>>>>=>>>>>>=>
ANDIKA COMMENT AU MAONI YAKO HAPA!

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright Wordwordseven n' Tripleseven | Designed By 075580248
Back To Top