Loading...

MCHUNGAJI ATAJWA ISHU YA WAATHIRIKA HAWA WA MADAWA YA KULEVYA, ETI ALIKUWA AKIWAUZIA

AIBUUU PICHA ZA UTAMU ZA MWANAFUNZI WA FORM ONE ZAVUJA ZIONE KWA KUBOFYA HAPO CHINI=>
Mmoja wa waathilika wa dawa hizo.

Baadhi ya waathirika wa madawa ya kulevya Wilaya ya Temeke, jijini Dar es Salaam ambao kwa sasa wameachana na matumizi ya madawa hayo walimtaja mchungaji wa kanisa moja (jina linahifadhiwa) ambaye alikamatwa na serikali na kwa sasa kesi yake inanguruma Mahakama Kuu jijini hapa.

Mwenyekiti wa kikundi hicho, Said Ismail Ngindo.

Waathirika hao ambao wako katika kikundi chao kijulikanacho kwa jina la Wanamati, walimueleza mwandishi wetu wiki iliyopita kuwa mchungaji huyo lazima abebe lawama zao kwa kuwa alikuwa akiwasambazia madawa hayo yaliyowafanya waathirike.

Waathirika ambao wapo zaidi ya 500 waliyasema hayo mara baada ya kumaliza kikao chao ambacho kilikuwa kikijadili jinsi ya kujikwamua baada ya kuachana na matumizi ya madawa ya kulevya.Waathirika hao ambao hawakupenda majina yao yatajwe gazetini kwa sababu za kiusalama, walisema mchungaji huyo alikuwa akiwauzia madawa hayo mitaani kwa kuwatumia mawakala wake ndipo polisi waliamua kumfuatilia na kumkamata na kwa sasa ana kesi Mahakama Kuu.

Hata hivyo, waathirika hao wameiomba serikali na taasisi mbalimbali kuwasaidia kimaendeleo kupitia kikundi chao hicho kwa kuwa wameachana na utumiaji wa ‘unga’ na wangependa wajitegemee kwa kufanya shughuli za kuzalishaji mali.

Waathirika hao ambao wengi wao wamesema kwa nyakati tofauti kuwa wamekuwa wakitumia unga kati ya miaka mitano hadi ishirini na kwamba jamii isiwachukie kwa maana na wao walirubuniwa bila kujua madhara ambayo wangeweza kuyapata lakini kwa sasa wako vizuri kwani wamekuwa wakihudhuria kliniki katika Hospitali ya Temeke, Dar.

Wameiomba serikali iendelee kuwapatia dawa za kutibu utumiaji wa madawa kwa kipindi chote cha miaka miwili wanayotakiwa kutumia ili waweze kurejea katika hali yao ya zamani.Mwenyekiti wa kikundi hicho, Said Ismail Ngindo alisema kwamba wameamua kuungana kwa pamoja ili waweze kufanya shughuli za maendeleo baada ya kuachana na madawa na wameiomba serikali iwasaide ili wajikwamue kiuchumi.

Wakiwa kwenye kikundi chao.

“Asilimia kubwa ya wanachama wa kikundi hiki hawana ajira…ni kazi ngumu sana kukaa bila kuwa na kipato, hapa kuna akina mama ambao wamezalishwa kipindi hicho wakiwa watumiaji wa madawa mitaani, sasa wanapata shida kubwa ya kuwalea watoto wao, hivyo kunahitajika msaada mkubwa, “ alisema mwenyekiti huyo.

Taarifa iliyopatikana ndani ya kikundi hicho inasema kwamba imefikia hatua ya viongozi wa kikundi walioteuliwa na uongozi wa Hospitali ya Wilaya ya Temeke kuwasimamia wenzao lakini wao wamewachagua viongozi wao ili wawe wakiheshimika zaidi na wana kikundi.

TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

KUONA VIDEO YAKE NI RAHISI TU BOFYA HAPA CHINI>>>>>>>>=======>>>>>>
International reporting trip.27 year old Missouri woman named Evelyn was recently featured on TLC's "My Strange Addiction", where she revealed that she's addicted to drinking air-freshner. According to Evelyn, she drinks 20 cans of air freshner a week and sprays up to 50 times daily. "I love air freshener. In the last three years, there is not a day where I’ve not had it. Fresh linen is my favorite flavor. Apple crisp is like dirt.” Evelyn said it started one day when she walked past an automatic air freshner spray, and it “dusted” her cup of glass. She gave it a try, and became hooked. Her man says he hates it but because he loves her, WADADA WAJIUZA MITANDAONI LIVE TAZAMA PICHA ZAO CHAFU NA BEI HAPA CHINI BOFYAAAA>>>>=>>>>>>=>
ANDIKA COMMENT AU MAONI YAKO HAPA!

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright Wordwordseven n' Tripleseven | Designed By 075580248
Back To Top