Loading...

MICHEPUKO SIO DILI..!! AKATWA MAPANGA BAADA YA KUGONGANISHA MABWANA

AIBUUU PICHA ZA UTAMU ZA MWANAFUNZI WA FORM ONE ZAVUJA ZIONE KWA KUBOFYA HAPO CHINI=>
Bahati Nyamkira amenusurika kifo baada ya kucharangwa mapanga sehemu mbalimbali za mwili.

MCHEPUKO usitajwe kwako! Mrembo aliyejulikana kwa jina la Bahati Nyamkira (20) (pichani), mkazi wa Kijiji cha Singu, Kata ya Kukirango, Butiama, Mara, amenusurika kifo baada ya kucharangwa mapanga sehemu mbalimbali za mwili na mwanaume anayedaiwa kuwa hawara yake kisa kikisemekana ni kumkuta akiwa na hawara mwingine, (kuwagonganisha).

Tukio hilo la kushangaza lilitokea saa 4 usiku wa Mei 23, mwaka huu nyumbani kwa mwanamke huyo katika kijiji hicho.

Kwa mujibu wa mashuhuda, siku ya tukio, saa 2 usiku, kijana mmoja aitwaye Nyamkinda James (23), mkazi wa Kijiji cha Buturu ambaye anadaiwa aliwahi kuishi na mwanamke huyo na kuzaa naye mtoto mmoja, alikwenda nyumbani kwa mwanamke huyo kwa lengo la kumchukua ili aende kulala naye kwao lakini mwanamke aligoma na kumfanya mwanaume huyo kutia shaka kwamba, huenda ana mwanaume mwingine.


Ilizidi kudaiwa kuwa, mara baada ya mwanamke huyo kugoma, kijana huyo aliondoka kimyakimya hadi nyumbani kwao na kuchukua panga kisha akarudi kwa kunyatia na kujificha sehemu.“Yule kijana akiwa amejificha huku macho yakiwa kwenye nyumba ya mwanamke huyo, ghafla alimwona mwanaume mwingine akifika nyumbani hapo na kugonga mlango.


“Mwanamke alifungua mlango na kuondoka na mwanaume huyo. Ndipo Nyamkinda alitoka pale alipokuwa amebana na panga lake na kumvamia kisha kuanza kumcharanga hovyo mwanamke huyo na kumsababishia majeraha makubwa,” alisema shuhuda mmoja.


“Sisi tulisikia kelele kutoka nyumbani kwa Bahati, tulipofika tulimkuta anagaragara chini huku akitokwa na damu nyingi mwilini na akilia kwa uchungu.“Tulipomuuliza kulikoni alisema amecharangwa mapanga na hawara yake wa zamani baada ya kumwona akiondoka na mwanaume mwingine, hivyo tukampa msaada wa kumpeleka Hospitali ya Wilaya ya Butiama ambako amelazwa,” aliongeza shuhuda huyo.

Afisa mmoja wa polisi mjini Butiama ambaye ameomba jina lake lisitajwe kwa kuwa siyo msemaji, amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kwamba, mtuhumiwa huyo anasakwa baada ya kutokomea kusikojulikana.

TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

KUONA VIDEO YAKE NI RAHISI TU BOFYA HAPA CHINI>>>>>>>>=======>>>>>>
International reporting trip.27 year old Missouri woman named Evelyn was recently featured on TLC's "My Strange Addiction", where she revealed that she's addicted to drinking air-freshner. According to Evelyn, she drinks 20 cans of air freshner a week and sprays up to 50 times daily. "I love air freshener. In the last three years, there is not a day where I’ve not had it. Fresh linen is my favorite flavor. Apple crisp is like dirt.” Evelyn said it started one day when she walked past an automatic air freshner spray, and it “dusted” her cup of glass. She gave it a try, and became hooked. Her man says he hates it but because he loves her, WADADA WAJIUZA MITANDAONI LIVE TAZAMA PICHA ZAO CHAFU NA BEI HAPA CHINI BOFYAAAA>>>>=>>>>>>=>
ANDIKA COMMENT AU MAONI YAKO HAPA!

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright Wordwordseven n' Tripleseven | Designed By 075580248
Back To Top